Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno akisisitiza jambo katika kikao na Watumishi wapya na waliohamia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kilichofanyika, Jijini Dodoma.
Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno (kushoto) akizungumza wakati wa kikao na Watumishi wapya na waliohamia katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kulia ni Mkurugenzi wa Divisheni ya Utawala na Rasilimali Watu Bi. Faith Minani
Baadhi ya Watumishi waliohamia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakifuatilia mada mbalimbali katika kikao cha Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Watumishi hao, Jijini Dodoma.
Kutoa huduma za kisheria zenye ubora kwa njia ya kuandaa Sheria, Upekuzi na Majadiliano ya Mikataba pamoja na Ushauri wa Kisheria kwa Maendeleo ya Kijamii, Kiuchumi na Kisiasa
Dira
Kuwa Taasisi yenye ufanisi, kitaaluma na kuaminika katika kutoa huduma bora za Kisheria kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania